Kwa habari zilizotufikia hivi punde , mchezaji wa timu ya simba
PATRICK MAFISANGO amefariki dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari . Katika harakati za kukwepa pikipiki maeneo ya tazara jijini Dar es salaam , gari la Mafisango lilitumbukia mtarani na kupelekea kifo cha mchezaji huyo.
MUNGU ALITOA , MUNGU AMETWAA , JINA LAKE LIHIMIDIWE.
No comments:
Post a Comment